Wednesday, May 15, 2013

HATIMAYE KILE KIFAA CHA KULIPIA KODI KIELEKTRONIKI CHAZINDULIWA RASMI LEO, WAFANYABIHASHARA LAKI MBILI KUANZA KUKITUMIA

Naibu Kamishna wa TRA Bw,Rished Bade akizungumza wakati alipokuwa anazindua kifaa cha kulipia Kodi Kielectroniki kijulikanacho kama EFD ... thumbnail 1 summary

002Hawa ni Baadhi ya wadau kutoka TRA pamoja na wafanyabihashara waliohudhuria katika Uzinduzi huo wakifuatilia kwa umakini hotuba ya Naibu Kamishna wa TRA Bw,Rished Bade.