Tuesday, March 26, 2013

ALIYEMGONGA TRAFIKI NKO AFIKISHWA MAHAKAMANI

</..more..> Simbo  akitolewa selo. Akiingizwa mahakamani.   Akisubiri kusomewa mashitaka. Akiteta jambo na Is... thumbnail 1 summary


</..more..>
Simbo  akitolewa selo.
Akiingizwa mahakamani.
 Akisubiri kusomewa mashitaka.
Akiteta jambo na Issa Mnally (mpigapicha na mwandishi wa magazeti ya Uwazi, Ijumaa, Risasi, Amani na Championi) ndani ya mahakama kabla ya hakimu kuwasili.
Waandishi wa habari wakimpiga picha (Simbo) wakati akiingia mahakamani.
Akiongea jambo na wakili wake (mwenye koti jeusi) mara baada ya kesi kuahirishwa.
 
Akiondoka eneo la mahakama mara baada ya kesi kuahirishwa akiwa na wakili wake.
Jackson  Simbo  anayedaiwa kumgonga kwa gari marehemu trafiki Elikiza Nko wiki iliyopita maeneo ya Bamaga-Mwenge  jijini Dar es Salaam amepandishwa kizimbani leo katika mahakama ya Wilaya ya Kinondoni. Mshitakiwa huyo ameachiwa kwa dhamana hadi kesi hiyo itakapo tajwa tena Aprili 15 mwaka huu