Wednesday, March 20, 2013

LWAKATARE ARUDISHWA RUMANDE, MBWA WAWATULIZA WAFUASI WA CHADEMA

LWAKATARE ARUDISHWA RUMANDE, MBWA WAWATULIZA WAFUASI WA CHADEMA Wakili anayemtetea Wilfred Lwakatare, Peter Kibatara (kulia), akimueleza... thumbnail 1 summary

LWAKATARE ARUDISHWA RUMANDE, MBWA WAWATULIZA WAFUASI WA CHADEMA

Wakili anayemtetea Wilfred Lwakatare, Peter Kibatara (kulia), akimueleza jambo Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe.
Mbowe akiwaeleza wanahabari njama za serikali kutaka kukidhoofisha chama chake.

Wakili Kibatara akiwafafanulia jambo wanahabari.
Mbowe akimtuliza mke wa Lwakatare baada ya mumewe kushindwa kutoka kwa dhamana.
Kikosi cha mbwa kikiwa tayari baada ya wafuasi wa Chadema kuanza kupiga mbiu za "Pipoooz.."
Mbwa wa polisi akiwaangalia wafuasi wa Chadema (hawapo pichani) kwa 'uchu'.
Askari magereza nao walikaa mkao wa kazi.
Kila mmoja akitawanyika kivyake baada ya mkwara wa polisi.