Friday, August 16, 2013

FUTA DELETE KABISAAAAAA..

  Unapopokea ujumbe, katika simu yako au katika mtandao wowote ule wa kijamii na ikiwa ujumbe huo una lengo la kuhatarisha... thumbnail 1 summary

 



Unapopokea ujumbe, katika simu yako au katika mtandao wowote ule wa kijamii na ikiwa ujumbe huo una lengo la kuhatarisha  usalama, kuvuruga amani ama kurudisha maendeleo nyuma, ni vyema ukafuta na kudelete kabisa ujumbe huo usiusambaze. Hakikisha unafuta na ku delete kabisaa
Ungana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Katika kampeni ya FUTA DELETE KABISA.

No comments

Post a Comment