Unapopokea
ujumbe, katika simu yako au katika mtandao wowote ule wa kijamii na ikiwa ujumbe
huo una lengo la kuhatarisha usalama, kuvuruga amani ama kurudisha maendeleo
nyuma, ni vyema ukafuta na kudelete kabisa ujumbe huo usiusambaze. Hakikisha
unafuta na ku delete kabisaa
Ungana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Katika
kampeni ya FUTA DELETE KABISA. |
No comments
Post a Comment