Saturday, August 24, 2013

Msanii wa bongo movie/fleva apata ajali mbaya baada ya kugonga kalavati, analalamika kifua kinamuuma

  Msanii wa Bongo movie/bongo fleva, Hemedi a.k.a PHD alipata ajali jana usiku maeneo ya kijitonyama kisiwani, alipokuwa akito... thumbnail 1 summary

 



Msanii wa Bongo movie/bongo fleva, Hemedi a.k.a PHD alipata ajali jana usiku maeneo ya kijitonyama kisiwani, alipokuwa akitokea sinza kumshusha swahiba wake Gelly wa rhymes.

Hemedy ambae haijulikani alikuwa anaendesha under influence au la, alijikuta akivamia kalavati lililopo pembeni ya mtaro na kusababisha ajali hiyo iliyopelekea gari alilokuwa nalo kuwa nyang'anya'nga


Hemedi ameumia sana hasa kifua na kwa sasa anaendelea na matibabu na anaonekana kuwa na maumivu makali baada ya kuandia status hii

THANK GOD IM STILL ALIVE...NIMEUMIA SAANA KIFUANI ILA NAENDELEA NA MATIBABU..AHSANTE SANA @gellywarhymes kwa MAPENZI YAKO KWANGU NA WENGINE WOTE WALIONIPA POLE...#IN PAIN

No comments

Post a Comment