Mpendwa msomaji kama mdau wa blog yetu blog hii hivi karibuni itaanza kutoa zawadi kwa wadau wa blog hii ( thankxgod.blogspot.com) kwa kutoa...
7:04 PM
Mpendwa msomaji kama mdau wa blog yetu blog hii hivi karibuni itaanza kutoa zawadi kwa wadau wa blog hii ( thankxgod.blogspot.com) kwa kutoa maswali yenye kutia changanoto na ukipata utazawadiwa zawadi kutokana na itakavyoainishwa kwenye shindano hilo
Sasa ni wakati wa wewe kumkumbusha mwezio juu ya mashindano haya na haya mashinadano ni endelevu na zawadi zitakotolewa kwa washindi wetu ni kofia,T-shirt vocha 500-5000 mtandao wowote (airtel,voda,tigo,na zantel),pesa (TSH 3000-25000) NA nyingine kibao
VIGEZO NA MASHART VITAZINGATIWA