Tuesday, January 7, 2014

Finally Huawei E303 unlocked

UPDATES: Mkuu download kwanza FILE HILI (link ni yangu kwenye 4shared) Jinsi ya kufanya kwa E303 1. Pata kwanza Unlock Code na Flash ... thumbnail 1 summary


UPDATES:Mkuu download kwanza FILE HILI (link ni yangu kwenye 4shared)

Jinsi ya kufanya kwa E303

1. Pata kwanza Unlock Code na Flash Code ya Modem yako E303 kwa kutumia IMEI yako hapa

2. Kisha Install software ya Modem yako kwa software iliyomo sasa hivi ndani ya modem kama bado hujainstall.

3. Update firmware yako kwa kuinstall Airtel Default Firmware (haiko locked ipo ndani ya rar. folder ulilodownload), hapa utahitaji kuingiza Flash Code

4. Baada ya hapo ingiza E303C ku-update dashboard yako kwenda new version

NB: usisahau ku-unlock baada tu ya ku-update firmware kwa sababu itajilock tena.

Dondosha THANKS au Like kama imekubamba

Tafadhali usifanye kwa biashara, its my upload
on 4shared


Kwa wale wenye Modem za Vodacom K3570-Z au K3571-Z tumia njia hii

Quote By Kimox Kimokole View Post
Mkuu Jeff tumia dc-unlocker hii niliyokuwekea link hapa kuandika Dashboard hii hapa na uenjoy modem yako ya K3570-Z kwa line yoyote. Kazi kwako.

NB: Download kwanza New DC-Unlocker hapa kisha utaitumia kuidetect Modem yako ya K3570-Z ikishaonekana ifunde halafu ufungue DC-Unlocker nilikokupa link yangu ya 4shared.

Sharing is Caring

No comments

Post a Comment