Habari za siku wapenzi wasomaji wa Blog hii ya kona ya Mahaba..
Poleni sana na mihangaiko ya hapa na pale...
Leo katika ukurasa wetu huu tutaangalia ni jinsi gani unaweza kuandaa mazingira bora kabla ya mechi(kufanya mapenzi).
Suala la kufanya mapenzi linahiitaji umakini na maandalizi mazuri..
Katika karne hii, watu wanayachukulia mapenzi kama sehemu ya kukidhi haja zao, hasa kiuchumi..
Kama kweli unajua kupenda na una mapenzi ya dhati kwa yule umpendae, fuata maelezo haya ili ufurahie mapenzi yenyewe...
1:WEKA MAZINGIRA SAFI.
Kwa siku hiyo ambayo unajua utakuwa na mwezi wako, jitahidi kuandaa mazingira ya ndani mwako yawe katika hali ya usafi..
Kibadilishe chumba kiwe na muonekano mpya.
2: TANDIKA MASHUKA YENYE MVUTO.
Baada ya kumaliza usafi, hakikisha kitandani kwako umetandika mashuka yenye maua au rangi zenye mvuto, hasa zile zenye ujumbe wa mapenzi..
3: Hakikisha chumbani kwako panapatika hewa safi ya kutosha..