Friday, January 31, 2014

JUSTIN BIEBER CHARGED WITH ASSAULT IN TORONTO /TURNS HIMSELF IN

Life is like that. Fair at times and not so fair at times. We all learn. Some of us learn in hard way and some it comes naturally. For ... thumbnail 1 summary

Bieber
Life is like that. Fair at times and not so fair at times. We all learn. Some of us learn in hard way and some it comes naturally. For Justin Bieber, a 19 years old his path seems to be getting complicated day after day. Certainly 2014 doesn’t seem to be a promising one…may be later. As of now, he has to grow and handle his businesses like he should. It could be just fame and money and you become a target of almost everyone else who wants a piece of your cake. It could be,well…his own behavioral changes that need be fixed right away. Below is what I am talking about

TORONTO (AP) — Justin Bieber was charged Wednesday with assault for allegedly hitting a Toronto limousine driver several times in the back of the head last month, just hours after his attorney entered a separate not guilty plea in Florida to drunken-driving and other charges.
Bieber turned himself in to a Toronto police station, arriving amid a crush of media and screaming fans. He was charged with one count of assault and is scheduled to appear in court in Toronto on March 10.
Police allege Bieber was one of six people who were picked up by a limousine from a nightclub in the early morning hours of Dec. 30, and there was an altercation while en route to a hotel.
Police said during the altercation one of the passengers hit the limo driver in the back of the head several times.
“The driver stopped the limousine, exited the vehicle and called police,” a statement said. “The man who struck him left the scene before police arrived.”

Exclussive ; Hii kali ya mwaka chukua dakika mbili kuangalia video hii mwanamke atembea uchi mtaani 30 January 2014

Share this history on : digg Dunia inabadilika kila ikiitwa leo hapa nimekutna na kitu cha kushangaza kidogo he... thumbnail 1 summary


Share this history on :
Dunia inabadilika kila ikiitwa leo hapa nimekutna na kitu cha kushangaza kidogo hebu tazama video hii ujionee mwenye anachofanya huyu mwanamke hapa
ANGALIA VIDEO HII HAPA CHINI
                        

Exclussive ; Angalia hapa picha za huyu dada aliyekuwa Freemason kwa miaka 14 aokoka

30 January 2014 Share this history on : digg Aliyekuwa Freemason kwa miaka 14 afunguliwa katika mkutano wa Uf... thumbnail 1 summary


30 January 2014

Share this history on :
Aliyekuwa Freemason kwa miaka 14 afunguliwa katika mkutano wa Ufufuo na Uzima unaoendelea Moshi; alikatwa kidole akiwa mdogo kama udhihirisho wa alama yao (devil horns)

alieleza mwenyewe mbele ya waliokuwepo mkutanoni maelfu ya watu wa mkoa wa Kilimanjaro na vitongoji vyake wanaohudhuria mkutano huo katika viwanja vya mashujaa unaoongozwa na mchungaji Josephat Gwajima wa kanisa la Ufufuo na Uzima lenye makao makuu yake Kawe jijini Dar es salaam.
Binti wa kiislamu ambaye aliwekwa ndani ya bahari kwa miaka mingi; alipokea ukombozi wake mara baada ya maombezi. Kule baharini alikuwa ameolewa na jini ambaye alimweka awe malkia wa baharini kwa miaka mingi... Mungu akamrudisha baada ya maombezi na kumpokea Yesu Kristo.
Baadhi ya picha jinsi maelfu ya wakazi wa mji wa Moshi mkoani Kilimanjaro wanavyohudhuria mkutano huo toka ulipoanza tarehe 20 mwezi huu, unatarajiwa kumalizika siku ya jumapili tarehe 27.









 
 

Samahani kwa picha hizi zinatisha ajali mbaya yatokea huko morogoro

30 January 2014 Share this history on : digg Dereva wa boda boda Aliyejulikana kwa jina Bw Cheni Abed amef... thumbnail 1 summary


30 January 2014

Share this history on :
Dereva wa boda boda Aliyejulikana kwa jina Bw Cheni Abed amefariki dunia baada ya kugongana na baiskeli huku dereva wa baiskeli hiyo ambaye pia alimpakia mwanaye wakiwa salama salmini. 

Cheni ambaye ni mkazi wa Mtaa wa Mchuma kata ya Kichangani mkoani hapa alipoteza maisha baada ya kugongana na baiskeli hiyo na kuangukia kichwa kwenye makutano ya barabara za Msamvu,Mafisa,Mwembesongo huku dereva wa baiskel hiyo ambaye alimpakia mwanye wakisalimika kwenye tukio hilo. 
Kufuatia mazingira ya tukio hilo familia ya dereva boda boda huyo iliamua kusafiri hadi wilaya ya mvomero kwenda kwa mganga wa kienyeji kuchunguza mazingira ya kifo hicho ambapo Sangoma Hamis Masai mkazi wa kijiji cha Changarawe kata ya Mzumbe Wilaya ya Mvomero mkoani hapa alimueleza baba wa mzazi wa marehemu huyo Bw Abed Shabani kwamba mama yake mzazi ndiye alimuua mjukuu wake huyo kwa kumchukua msukule na kwamba Sangoma huyo alimhakikishia Mzee Shabani kwamba alikuwa na uwezo wa kumrejesha dunia mwanye huyo aliekuwa nguvu muhimu kwenye familia hiyo. 
Kufutia kauli hiyo Mzee Shabani aliludi Morogoro mjini na kusitisha mazishi ya kijana wake kwa siku nne akisubiri mganga huyo amfufue, kufuatia taarifa hizo majirani ambao yatari walishaanza kutoa msaada wa kuchimba kaburi na kuchanga michango ya mtaa walizuiwa kufanya shughuri hizo kwa maelezo kwamba Cheni angefufuliwa. Habari za kufufuka kwa boda boda huyo zilizagaa kwa kasi kubwa kama kile kimbunga cha sunami na kwamba siku ya nne aliyohadi mganga huyo kumfufua boda boda huyo ilipofika umati wa watu kutoka kona zote za mji wa morogoro walifika nyumbani kwa mzee Shabani akiwemo wmandishi wa habari hizi kwa lengo akushuhida maajabu hayo.  

Familia hiyo na wananchi hao walisubiri toka saa mbili asubuhi hadi saa moja usiku bila kushuhudi boda boda huyo akifufu liwa na kwamba Sangoma huyo alipoulizwa na familia hiyo alidai kwamba kuna mashariti yalivunjwa na familia hiyo hivyo asingewe tena kumfufua marehemu wao na kwamba baada ya kauli hiyo watu walitawanyika na kurudi siku iliyofuta kumzika boda boda huyo.  

Katika mazishi hayio kuliibuka mambo kadhaa ambapo miongoni mwa mwambo hayo ni mashekhe wote wa kata ya kichanga kugoma kwenda kumsalimi marehmu huyo wakiitaka familia hiyo kwenda kumwita mganga huyo wa kiennyeji wanayemuami aje kumsalia marehemu wao.  

Familia hiyo baada ya kuona viongozi hao wa dini wamevuta 'Hend Breck' wameamu kukodi boda boda na kwenda kumfuta shekh Mageta ambaye ana undugu na familia hiyo na kwamba kwenye mawaidha yake Shekh Mageta akiipiga madogo familia hiyo kwa kuabudu mamboya kishirikina.

"Nimepata ahabari mashekh wenzangu wa eneo hili wamesusia kuja kwenye msiba huuu kwa mambo yetu ya kijinga ya kuabudu ushirikina kijana wetu amekufa kwa ajari na amenguaki kiichwa damu mwingi zimetoka leo mnaenda kuangua kwa mganga kuchunguza kifo chake na mnadanganywa eti mganga huyo naweza kumfufua mtu mbona ameshinwa kumfufua naomba sikunyingine msiludia jambo hili" alisema Shekhe mageta kwwnye mawaidha yake. 
Mwenyekiti wa taa huo wa chuma Bw Nathanael Chacha ambaye alikiri kupokea taarifa za familia hiyo kumfufua kijana wao alimu kuwaambia wajumbe wake waliokuwa kwenye zoezi la kuchanga pesa za pole kuacha zoezi hilo.
Jambo la tatu lililojiri kwenye msiba huo ni kwamba kwenye acouti ya simu ya marehmu kulikutwa pesa taslimu shilingi laki sita na kwamba dada za marehmu walihangaika kuzitoa pesa hizo bila mafanikia baada ya kushindw akuitambua namba ya siri ya marehmu huyo licha ya kujari kuweka namba ya siri ya mwaka wa kuzaliwa wa maremu huyo. 

Baba mzaza wa marembu Mzee Abed Shabani alipohojiwa na mtandao huu alikiri simu ya mwanayen huyo kuwa na kiasi hicho cha fedha na kuda kwamba wanashindw akuzitoa baada ya kutoitambua namba ya siri,habari ambazo mtandao huu umezinasa zilidai kwamba mchumba wa boda boda huyo ambaye ameza naye mtoto mmoja ndiye pekee nayejua namba za siri za simu ya mpenzi wake na kwamba kuna habari zinadai kwamba wifi zake kwa sasa wamemficha jambo hilo naye amedai kwamba kamwe hawezi kuwataji namba hizo za siri mapka atakapohakikishiwa mgeno wa fedha hizo yeye na mtoto wake. 
mwendezo wa tukio hili kwa maaba ya picha za mazishi utawajia kesho hivyo usikose kutemebea mtandao huu kujua mengi kujuu ya tukio hili ikiwemo ya bibi huyo wa marehmu aliyetumia uchawi naye kufariki duni kwa Sangoma huyo 





Wednesday, January 15, 2014

B12, ADAM MCHOMVU NA DIVA WAMEPIGWA CHINI CLOUDS

Stori:  MUSA MATEJA WATANGAZAJI maarufu Bongo wa Redio Clouds Fm ya jijini Dar es Salaam, Hamis Mandi ‘B 12’, A... thumbnail 1 summary



Stori:  MUSA MATEJA
WATANGAZAJI maarufu Bongo wa Redio Clouds Fm ya jijini Dar es Salaam, Hamis Mandi ‘B 12’, Adam Mchomvu na Loveness Malinzi ‘Diva’, wamepigwa chini na kituo hicho, Risasi Mchanganyiko linakupa zaidi.

Habari za chini kwa chini kutoka kwa chanzo chetu zinasema kuwa uongozi wa Clouds umefikia hatua hiyo baada ya kuchoshwa na tabia ya utovu wa nidhamu wa watangazaji hao.

Hata hivyo, madai ya mitaani yanasema kwamba watangazaji hao wamepigwa chini kwa kosa la kukacha sherehe za maadhimisho ya miaka 14 ya Clouds FM,yaliyofanyika hivi karibuni katika Viwanja vya Mwembeyanga, Temeke, Dar.

Risasi Mchanganyiko lilimvutia waya Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba na kumwuliza juu ya ishu hiyo ambapo alikiri.

“Ni kweli tumefikia uamuzi wa kuwasimamisha B 12, Diva na Mchomvu baada ya kukiuka baadhi ya makubaliano baina yao na ofisi hivyo kusababisha usumbufu mkubwa ambao ulitulazimu kuingia gharama ambazo hazikutarajiwa.

“Hatutakuwa nao kwa muda usiojulikana ingawa watu wengi wamekuwa wakinihoji juu ya hilo lakini watachotakiwa kuelewa ni kwamba hakuna ofisi isiyokuwa na sheria na taratibu za kuongoza watu wake, sasa hao wamevunja taratibu zetu,” alisema Ruge bila kufafanua zaidi.

Alipoulizwa ni taratibu zipi watangazaji hao walizovunja alisema: “Nashindwa kueleza kosa la kila mmoja ila naomba nieleweke kuwa hao watangazaji kwa sasa tumewasimamisha kwa muda usiojulikana wakati tukifikiria cha kufanya. Muhimu hapo ni kwamba wamekwenda kinyume na tulivyokubaliana.”

Source -
http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/diva-b-12-mchomvu-out-clouds

Monday, January 13, 2014

Thumbs up Faida za Kiafya za Kitunguu Swaumu (Garlic) Featured

​ Kitunguu swaumu ni jamii ya vitunguu ambayo kwa kitaalamu huitwa Allium sativum . Jamii hii ilianza kutumika katika mabara mbalimba... thumbnail 1 summary





Kitunguu swaumu ni jamii ya vitunguu ambayo kwa kitaalamu huitwa Allium sativum. Jamii hii ilianza kutumika katika mabara mbalimbali duniani hususani Asia, Afrika na Ulaya takribani miaka 6000 iliyopita. Matumizi makuu nyakati hizo yakiwa viungo katika mboga na tiba.


Kitunguu swaumu kimetajwa kwenye vitabu mbalimbali vya dini vikielezea faida zake katika kutibu maradhi mbalimbali yasababishwayo na bakteria, matatizo katika mapafu, matatizo katika mfumo wa umen'genyaji chakula, na matatizo ya kuishiwa nguvu.


Historia inaonesha kuwa, vitunguu swaumu vilianza kutumika China mwaka 510 K.K na pia vilitumiwa na wanajeshi wa Ugiriki na Roma. Aidha wasafiri wa vyombo vya baharini na vijijini pamoja na wakulima barani Afrika walivitumia sana.


Mwaka 1858, mtafiti na mwanasayansi wa nyakati hizo, Louis Pasteur aligundua uwezo wa kitunguu swaumu katika kuua vimelea mbalimbali vinavyosababisha magonjwa, na hivyo vikaanza

kutumika kama dawa ya kusafishia vidonda na kuzuia kidonda ndugu hasa zama za vita ya kwanza na pili ya dunia. Isitoshe, mpaka sasa zipo dawa kadhaa zilizotengenewa kwa kutumia jamii hii ya

vitunguu swaumu ikiwemo dawa ya kusafisha mdomo (mouth wash) ingawa watumaiji wake wengi huilalamikia dawa hiyo kwa sababu ya harufu mbaya ya dawa hiyo inayowasababishia kunuka kwa mdomo.



Faida za vitunguu swaumu


Katika tafiti mbalimbali vitunguu swaumu vimeonekana kuwa na uwezo wa kutibu maambukizi ya bakteria, fangasi na virusi vya aina mbalimbali. Aidha husaidia kuzuia magonjwa ya moyo ikiwemo kuondoa lijamu katika mishipa ya damu na hivyo kusaidia katika kurekebisha shinikizo la damu. Faida nyingine za vitunguu swaumu ni pamoja na

  • Kutibu saratani ikiwemo saratani ya tumbo na utumbo mkubwa. Tafiti zinaonesha idadi ndogo ya wagonjwa wa saratani katika nchi ambazo wakazi wake wana utamaduni wa kutumia vitunguu swaumu kwa wingi.
  • Vitunguu swaumu husaidia kudhibiti kiwango cha sukari katika damu. Hata hivyo inashauriwa kwamba wagonjwa wa kisukari wanaotumia sindano za insulin wasitumie kitunguu swaumu kwa wingi mpaka watakaposhauriwa na daktari.
  • Huzuia kusanyiko la chembe sahani zinazosaidia kuganda kwa damu (platelet aggregation)
  • Husaidia ufyozwaji wa thiamin, hivyo kusaidia kuepusha mwili na ugonjwa wa beriberi
  • Ina kiasi kikubwa cha vitamini C ambayo husaidia kuzuia ugonjwa wa kiseyeye
  • Hutumika kutibu magonjwa nyemelezi kama toxoplasmosis, hasa kwa watu wenye upungufu wa kinga mwilini.


Ushahidi wa Kitafiti


Katika utafiti uliofanyika nchini Czech ilionekana kuwa matumizi ya vitunguu swaumu yalisaidia sana katika kupunguza kusanyiko la lijamu (cholesterol) pamoja na mafuta yasiyofaa mwilini (low

density lipoproteins) katika mishipa ya damu. Aidha, mwaka 2007 BBC iliripoti matumizi ya vitunguu swaumu katika kusaidia kumkinga mtumiaji dhidi ya aina fulani ya mafua

iliyosababishwa na virusi. Mwaka 2010, ulifanyika utafiti mwingine ambao ulijumuisha wagonjwa 50 wenye shinikizo la damu sugu ambalo lilikuwa ni vigumu kudhibitiwa hata kwa matibabu

yaliyozoeleka ya dawa na njia nyingine. Kama njia ya kuchunguza ufanisi wa vitunguu swaumu katika kutibu shinikizo la damu, baadhi ya wagonjwa hao walipewa vitunguu swaumu wakati

wengine walipewa dawa isiyohusika na matibabu ya shinikizo la damu (au placebo). Ilionekana kuwa wale waliopewa vitunguu swaumu kama dawa ya shinikizo la damu walionesha maendeleo

mazuri kwa vitunguu swaumu kuweza kushusha vizuri kiwango cha shinikizo la damu, hususani systolic pressure, tofauti na wale waliopewa placebo.



Nini siri ya kitunguu swaumu?


Sifa kuu zinazokifanya kitunguu swaumu kuwa na uwezo na faida zilizoainishwa hapo juu ni kule kuwa kwake na viasili kadhaa (ingredients) ambavyo vinafanya kazi tofauti tofauti. Uwezo wake wa kiutendaji unatokana na mambo yafuatayo;

  • Vina uwezo wa kusababisha kutanuka kwa mishipa ya damu (vasodilation) kwa kubadilisha polysulfides zilizopo ndani yake kuwa hydrogen sulfides kwenye seli nyekundu za damu.
  • Husaidia uthibiti wa kiwango cha sukari mwilini kwa kushusha kiwango cha kemikali ya homocystine na kupunguza madhara ya kisukari.
  • Iwapo vitapondwa pondwa vizuri, vitunguu swaumu hutoa kemikali iitwayo Allicin ambayo ni dawa dhidi ya bateria, na phytoncide ambayo huua fangasi wa aina mbalimbali.
  • Harufu mbaya ya kitunguuu swaumu hutokana na gesi aina ya hydrogen sulfide ambayo inayotolewa baada ya kuvila.



Nini Madhara ya vitunguu swaumu?



Ukiacha faida zake, vitunguu swaumu pia vina hasara na madhara mbalimbali kwa mtumiaji. Madhara hayo ni pamoja na;

  • Harufu mbaya mdomoni ambayo hutokana na kemikali ya AMS (allyl methyl sulfide). Harufu mbaya hii, hata hivyo, yaweza kupunguzwa kwa kunywa maziwa au kunywa maji mengi.
  • Kwa baadhi ya watumiaji, vinaweza kuwaletea mzio au mcharuko mwili (allergies au inflammatory reactions)
  • Kichefuchefu, Kutapika na kuharisha.
  • Huweza kusababisha hatari ya kuvuja damu, kwa sababu huzuia kazi ya seli sahani (platelets) zenye kusaidia kuganda kwa damu kushindwa kufanya kazi yake vizuri, na hususani kwa mama wajawazito, baada ya upasuaji au mara baada ya kujifungua.
  • Huingiliana katika utendaji kazi wake na dawa kadhaa kama vile warfarin, antiplatelets, saquinavir, dawa za shinikizo la damu kwa ujumla hasa calcium channel blockers, na antibiotiki za jamii ya quinolone kama vile ciproflaxacillin.
  • Aidha, vinaelezwa pia kuwa na madhara kwa wanyama jamii ya paka na mbwa.

Weka mikakati ya kupunguza mafuta na uzito usiotakiwa mwilini-clean 9 program

clean 9 program ya kupunguza mafuta na uzito usiotakiwa mwilini. aya jamani wale matomaso wasioamini-nimekuja na vide... thumbnail 1 summary

clean 9 program ya kupunguza mafuta na uzito usiotakiwa mwilini.

aya jamani wale matomaso wasioamini-nimekuja na video ya mtu aliepunguza zaidi ya 35kgs. click link iyo utampata. pungua uzito kwa njia salama - YouTube





..hawa ni baadhi ya watu waliotumia clean 9 program








W.H.O SHIRIKA LA AFYA DUNIANI LIMETOA TAKWIMU KUWA MAGONJWA YANAYOONGOZA KWA KUUWA WATU DUNIANI KWA SASA NI BLOOD PRESSURE. 95%CHECK WITH W.H.O OFFICIAL WEBSITE. "LEADING KILLING DISEASE"




AMBAYO INASABABISHWA NA VITU VINGI
1.MAFUTA TUNAYOYAINGIZA MWILINI- KUPITIA VYAKULA VYENYE MAFUTA MENGI.


2.SUMU ZINAZOPATIKANA KATIKA MFUMO TOFAUTI TOFAUTI. MF. AIR CONDITION,SUMU KATIKA MAFUTA YA KUPIKIA,MOSHI WA MAGARI,MIONZI YA JUA AMBAYO NI ARGENCY MKUBWA WA CANCER. KUKU WA KISASA NA MBOGA ZA MAJANI AMBAZO ZINAWEKWA SUMU NYINGI ILI KUHIFADHI UKIJANI WAKE NA SURA YAKE NZURI NA HII INA KIWANGO KIKUBWA CHA KUCHANGIA SUMU 48% KATIKA MWILI WA BINADAMU. HAPA TUTAELEZEA KWA KIREFU CKU INGINE.

3.STRESS ZA MAISHA

KIAFYA MWILI WA BINADAMU HAUTAKIWI U ACCUMULATE MAFUTA MENGI MWILINI MAANA YAKIZIDI YATAENDA KU AFFECT MWILI. NA KUPELEKEA MAGONGWA MENGI KAMA BLOOD PRESSURE NA MENGINE MENGI. AMBAYO YAKIKUTANA NA SHIDA KIDOGO KAMA MSONGO WA MAWAZO HUPELEKEA KUFAIL KWA MOYO KUFANYA KAZI NA MTU KUPOTEZA MAISHA. HATUSEMI NI VIBAYA MTU KULA ATAKACHO BUT TUJITAIDI KUREDUCE VIWANGO VYA MAFUTA KATIKA MIILI YETU. MAANA TUNALIMBIKIZA AU TUNAPANDA MAGONJWA MENGI SANA AMBAYO YANGEWEZA KUWA CONTROLLED.





"CLEAN 9"- NI MKOMBOZI WA WALE WENYE MAFUTA YALIYOZIDI MWILINI. NA KUSABABISHA UZITO AMBAO UMEKUWA KERO KATIKA MIILI YAO.

KUSABABISHA:
1.VITAMBI
2.UNENE SEHEMU MOJA- MF, MIKONO, SEHEMU ZA MAKALIO, SHINGO, UPANDE WA MGONGO NA KULETA SHEPU AMBAZO WENGI HATUZIPENDI . NA TUMEJITAIDI KWA NJIA NYINGI KUREKEBISHA HIZO TOFAUTI NA TUMESHINDWA. UNAKUTA MTU ANA UMRI WA MIAKA 23 TUU BUT ANA KILO 120. HII NI HATARI KIAFYA.



JINSI INAVYOFANYA KAZI:
1. KAMA NILIVYO DADAVUA MWANZO HII NI PROGRAM ILIYOCHANGANYWA MIMEA YA ASILI TUU


>>PROGRAM HII INAENDANA NA MAZOEZI YA DK.20 KILA SIKU- ATLEAT KUTEMBEA KWA NUSU SAA KILA SIKU PAMOJA NA MAJI YA KUTOSHA.

WENGI IMEWAPA MATOKEO MAZURI NA WANAIKUBALI NI NJIA NZURI YA KUMAINTAIN WEIGHT BILA MADHARA YA VIDONDA VYA TUMBO WALA KUDHOOFU MWILI.








HUJACHELEWA. USIKATE TAMAA NA JINSI ULIVYO SASA. CLEAN 9 IT,S 100% NATURAL PROGRAM TO CONTROL YOUR HEALTH AND NO CHEMICALS. PLEASE IF YOUR INTERESTED PLEASE CONTACT WITH ME TO OWN YOURS.

THANKS & REGARDS
Joseph
0713297066/0765377506

Nyalandu: Ripoti ya Lembeli uongo mtupu

NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ameilalamikia Kamati ya Bunge ya Ardhi, Mazingira na Maliasili iliyoongozwa na Ja... thumbnail 1 summary




NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ameilalamikia Kamati ya Bunge ya Ardhi, Mazingira na Maliasili iliyoongozwa na James Lembeli kuwa taarifa iliyowasilisha bungeni na kuwang’oa mawaziri wanne ilikuwa ya uongo.

Nyalandu alitoa kauli hiyo juzi alipozungumza na viongozi wa taaluma mbalimbali pamoja na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Dodoma na Manyara juu ya mgogoro wa mipaka kati ya hifadhi ya taifa ya Tarangire, Pori la Akiba Nkungunero na vijiji vya jirani uliofanyika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara.

Alieleza kutokana na taarifa hiyo Tanzania kwa sasa imeonekana kushuka kwa kiwango kikubwa katika utawala bora ikiwa ni pamoja na ukiukwaji wa haki za binadamu.

Alisema kuna taarifa ambazo zilionyesha kuwa wapo watu ambao walibakwa jambo ambalo halikuwa la kweli.

Hata hivyo, alisema kwa sasa Rais Jakaya Kikwete amekubali kuunda tume ya kimahakama ambayo itafanya uchunguzi juu ya kuwepo kwa matukio hayo na itakapabainisha kuwa kuna watu walipotosha ni wazi watachukuliwa hatua kali za kisheria bila kujali cheo cha mtu ambaye alihusika na uongo au ukiukwaji wa sheria.

Katika hatua nyingine, Nyalandu ametangaza kumsimamisha kazi ofisa wanyamapori mwandamizi katika pori la akiba la Maswa, Lawrence Kileo, kwa kutuhumiwa kupokea rushwa na kuwatoza faini wafugaji bila kuzingatia taratibu.

Hatua hiyo imekuja ikiwa ni siku chache tangu atangaze kusimamishwa kazi kwa watumishi 22 wa wizara hiyo.

Ofisa huyo anatuhumiwa kuwatoza faini wafugaji wanaoingiza mifugo yao katika pori hilo bila kutoa risiti za serikali, na hivyo fedha hizo kujinufaisha mwenyewe kinyume cha kifungu cha sheria namba 116[2]C cha sheria ya kuhifadhi wanyamapori namba 5 ya mwaka 2009.

Nyalandu ametangaza kuanza kwa uchunguzi kwa Ofisa Wanyamapori wa Wilaya ya Kasulu, Benjamini Mkosamali, kabla ya kuchukuliwa hatua za kinidhamu kwa kuwaruhusu watuhumiwa wa ujangili kuondoka na nyara za serikali walizokamatwa nazo kabla ya kukamatwa tena kwa msaada wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Nyalandu alisisitiza kuwa serikali itaendelea kuchukua hatua zaidi kwa maofisa wote watakaobainika kujihusisha na vitendo vyovyote vile vya kukiuka maadili ya kazi yao.

Watuhumiwa hao wa ujangili mkoani Kigoma ambao walikamatwa wakiwa wamebeba wanyama aina ya tohe 12, madume watano na majike saba wakiwa pia na insha wanne aina ya Oribi ambao hawakupaswa kuwinda kwa mujibu wa leseni yao ya uwindaji namba B59921 iliyotolewa Kigoma.

Alisema awali watuhumiwa hao walikamtwa na kikosi cha doria cha Kampuni ya Friedkin Conservation Fund na kumuita ofisa huyo kwa ajili ya kuchukua hatua zaidi ambapo alipofika na kuzungumza na watuhumiwa aliwaruhusu kuondoka na wanyama hao.

Nyalandu alisema Benjamini akiwa na taaluma ya kusimamia wanyamapori huku akifahamu majangili waliokamatwa wamekutwa na nyara za serikali na wamekutwa katika kitalu cha uwindaji sehemu ya Kibenge, baada ya kupata taarifa kwa wahusika, aliamua kwa makusudi kuwaruhusu majangili hao kuondoka.

“Hivyo nimeagiza mamlaka husika kukamilisha uchunguzi na kumchukulia hatua za kinidhamu na za kisheria haraka sana ofisa huyo,” alisema Nyalandu.

Alisema kuwa vita dhidi ya ujangili itaendelea kwa kasi na hata rais ameishaahidi kuwa operesheni ujangili awamu ya pili itarejea hivi karibuni baada ya kurekebisha kasoro zilizojitokeza katika awamu iliyomalizika.

Alifafanua kuwa kwa kipindi cha mwezi mmoja uliopita baada ya kusitishwa kwa operesheni hiyo, tembo 60 waliuawa na majangili hao kitendo ambacho hakitakiwi kuvumiliwa.

Source:
Tanzania Daima (Tanzania Daima – Nyalandu: Ripoti ya Lembeli uongo mtupu)

Tuesday, January 7, 2014

Finally Huawei E303 unlocked

UPDATES: Mkuu download kwanza FILE HILI (link ni yangu kwenye 4shared) Jinsi ya kufanya kwa E303 1. Pata kwanza Unlock Code na Flash ... thumbnail 1 summary


UPDATES:Mkuu download kwanza FILE HILI (link ni yangu kwenye 4shared)

Jinsi ya kufanya kwa E303

1. Pata kwanza Unlock Code na Flash Code ya Modem yako E303 kwa kutumia IMEI yako hapa

2. Kisha Install software ya Modem yako kwa software iliyomo sasa hivi ndani ya modem kama bado hujainstall.

3. Update firmware yako kwa kuinstall Airtel Default Firmware (haiko locked ipo ndani ya rar. folder ulilodownload), hapa utahitaji kuingiza Flash Code

4. Baada ya hapo ingiza E303C ku-update dashboard yako kwenda new version

NB: usisahau ku-unlock baada tu ya ku-update firmware kwa sababu itajilock tena.

Dondosha THANKS au Like kama imekubamba

Tafadhali usifanye kwa biashara, its my upload
on 4shared


Kwa wale wenye Modem za Vodacom K3570-Z au K3571-Z tumia njia hii

Quote By Kimox Kimokole View Post
Mkuu Jeff tumia dc-unlocker hii niliyokuwekea link hapa kuandika Dashboard hii hapa na uenjoy modem yako ya K3570-Z kwa line yoyote. Kazi kwako.

NB: Download kwanza New DC-Unlocker hapa kisha utaitumia kuidetect Modem yako ya K3570-Z ikishaonekana ifunde halafu ufungue DC-Unlocker nilikokupa link yangu ya 4shared.

Sharing is Caring

IFAHAMU SIMU YA LENOVA JINSI ILVYO MAHIRI

Wadau ningependa tuiangalie smartphone hii kutoka Lenovo ambayo ni watengenezaji namba 1 wa computer duniani (wakifuatiwa name hp). Lenov... thumbnail 1 summary
Wadau ningependa tuiangalie smartphone hii kutoka Lenovo ambayo ni watengenezaji namba 1 wa computer duniani (wakifuatiwa name hp).
Lenovo P780 ina battery yenye ukubwa wa 4000mAh ambayo inaweza:
- Kukaa na chaji kwa siku 3 kama unatumia kawaida tu kwa maana ya intanet, music na calling za kawaida.
- Inaweza kuongea kwa masaa 43 mfululizo (bila kukata simu) ukitumia 2G.
- Ina uwezo wa kuchaji smartphone zingine zenye battery za 2000mAh
- Inauwezo wa kukaa standby (ukiiwasha tu na usipoitumia) kwa siku 35 kwa kuchaji mara moja tu.

Lenovo P780 ina camera yenye 8MP na front camera yenye 1.3 Mp.
Guys, wote tunajua kuwa kero kubwa kwa smartphone ni kutokaa kwa chaji lakini simu hii imeonekana kuwa solution kwa tatizo hilo. Kama unaweza kukaa na smartphone kwa siku 3 bila kuichaji then this is the best thing.
More details ingia kwenye gsmarena.com then search Lenovo P780. Naamini utaikubali. Bei yake ni affordable ni Dollar 230 kwenye Smartphone Dual SIM,Smartphone Wifi GPS,Android Dual SIM Smart Phones
Attached Thumbnails Attached Thumbnails Click image for larger version. 

Name: 1387949771498.jpg 
Views: 0 
Size: 32.6 KB 
ID: 128625